jukwa la Wanainchi
Kalishi Tesha wa Tanga, Tanzania unasema, kuna msemo wa Kiswahili,’ vijana ni taifa la kesho’. Usemi huu sio sahihi hata kidogo. Kwani vijana wanatakiwa wajumuishe katika sera na maendeleo ya nchi kwa ujumla. Lakini kwaq sasa kuna msukumo kiasi katika kuendeleza vijana, kwani baadhi ya mataifa yanayotoa elimu ya msingi bure kwa vijana.
Mfano nchini Tanzania kulikuwa na program ya kuendeleza shule msingi. Madrasa yamejengwa na idadi ya wanafunzi imeongezeka wanaohitimu shule ya msingi.
Pia kuna mpango wa kuendeleza shule za sekondari. Lakini program hii inakabiliwa na changamoto. Wanainchi wanahamu kubwa kujenga shule za sekondari za kata. Lakini kuna tatizo lakuwapata waalimu wenye sifa, pamoja na vifaa vya maabara kwajili ya masomo ya sayansi.
Naye Daudi Pikikoti kutoka hospitali ya mkoa Iringa, Tanzania anasema tupo katika dunia ambayo muumbe ametuweka tuishi watu na viumbe mbalimbali wanaondelea kuishi kilamoja kadre anavyoweza. Dunia ambayo hauishi matatizo. Dunia iliyo kosa amani. Ukiangalia kulia, ndugu jamaa na marafiki, wako wodoni wamelazwa. Wakati huo huo zinahitajika fedha kwa ajili ya matibabu.
Ukiangalia kushoto, vita na mauaji, pamoja na matetemeko bila kusahau maafriko yakunusuisha. Ukigeuka nyuma umaskini wa kipato unanizunguka. Mwanadamu, kila ninacho fanya hakilipi. nikiangalia mbele, hakuna matumaini ya kuishi raha mstarehe. Oh, ole wangu mimi mwanadamu, ni nani atakaye niokowa na matatizo haya? Eh, mola muumba wa dunia, na muumbaji wetu, wewe tu unaweza kutuokowa na matatizo haya? Fanya haraka kutu saidia tunaongamia.
|
jukwa la Wanainchi
|
 |
Ordinary People's Platform
|
Kalishi Tesha wa Tanga, Tanzania unasema, kuna msemo wa Kiswahili,’ vijana ni taifa la kesho’. Usemi huu sio sahihi hata kidogo. Kwani vijana wanatakiwa wajumuishe katika sera na maendeleo ya nchi kwa ujumla. Lakini kwaq sasa kuna msukumo kiasi katika kuendeleza vijana, kwani baadhi ya mataifa yanayotoa elimu ya msingi bure kwa vijana.
|
 |
Kalishi Tesha of Tanga, Tanzania says, you say, there is a Swahili saying, vijana ni taifa (translated roughly, ‘young people are the leaders of tomorrow’). This saying isn’t just true anymore because young people should familiarize themselves with development policies of the country as a whole, but also, there is now a moderate push for the betterment of young people.
|
Mfano nchini Tanzania kulikuwa na program ya kuendeleza shule msingi. Madrasa yamejengwa na idadi ya wanafunzi imeongezeka wanaohitimu shule ya msingi.
|
 |
Some of the countries that provide primary education for free, as an example Tanzania, have a program to improve primary education. As classrooms are built, the number of eligible students who attend primary school rises.
|
Pia kuna mpango wa kuendeleza shule za sekondari. Lakini program hii inakabiliwa na changamoto. Wanainchi wanahamu kubwa kujenga shule za sekondari za kata. Lakini kuna tatizo lakuwapata waalimu wenye sifa, pamoja na vifaa vya maabara kwajili ya masomo ya sayansi.
|
 |
There are also plans to improve secondary education. But this program is wrought with challenges. The people have a desire to build secondary schools with avenues for a higher intake of students. But there is the problem of attracting good and qualified teachers, and also having laboratories for teaching science.
|
Naye Daudi Pikikoti kutoka hospitali ya mkoa Iringa, Tanzania anasema tupo katika dunia ambayo muumbe ametuweka tuishi watu na viumbe mbalimbali wanaondelea kuishi kilamoja kadre anavyoweza. Dunia ambayo hauishi matatizo. Dunia iliyo kosa amani. Ukiangalia kulia, ndugu jamaa na marafiki, wako wodoni wamelazwa. Wakati huo huo zinahitajika fedha kwa ajili ya matibabu.
|
 |
Daudi Pikikoti from the provincial hospital in Iringa, Tanzania says we are in a world that has been bestowed to us to live in harmony with other species. A world in which problems never end. A world without peace. When you look to your right, friends and family are in deep sorrow. At the same time, money is needed for treatment.
|
Ukiangalia kushoto, vita na mauaji, pamoja na matetemeko bila kusahau maafriko yakunusuisha. Ukigeuka nyuma umaskini wa kipato unanizunguka. Mwanadamu, kila ninacho fanya hakilipi. nikiangalia mbele, hakuna matumaini ya kuishi raha mstarehe. Oh, ole wangu mimi mwanadamu, ni nani atakaye niokowa na matatizo haya? Eh, mola muumba wa dunia, na muumbaji wetu, wewe tu unaweza kutuokowa na matatizo haya? Fanya haraka kutu saidia tunaongamia.
|
 |
When you look to your left, war and killings, earthquake, and floods. When you look back, its poverty and a dwindling of income. My people, everything I try does not pay. When I look forward, there is no hope of a happy life. Who will share my problems and burden? Creator of the earth and our creator, it’s only you who can save us from these problems? Hurry up and save us from ourselves.
|
 |
_TTITLE2ALT_
|
 |
_ETITLE2ALT_
|
_TTEXT2ALT_
 |
|
|